F. Eligibility:

  • Pasipoti zinatolewa kwa Raia wa Tanzania tu. Hazitolewi kwa mwombaji ambaye anao urais wa nchi nyingine zaidi ya Tanzania.
  • Raia wa Tanzania ambaye amepata uraia wa nchi nyingine hana budi kurejesha pasipoti ya Tanzania Ubalozini kwa ajili ya kufutwa.
  • Pasipoti za Tanzania hazitolewi pia kwa watu wenye hadhi ya Ukimbizi.
  • Mtoto mwenye Uraia Pacha anaweza kupewa pasipoti ya Tanzania ikiwa hana pasipoti za nchi nyingine zaidi ya Tanzania.

 

NB: Waombaji wa pasipoti za Tanzania WANATAKIWA kusoma maelezo muhimu yanayohusu utoaji wa pasipoti kwenye FOMU Ukurasa wa 3 na 4.