Ubalozi wa Tanzania Nchini Uingereza na Jamhuri ya Ireland unapenda kuwaarifu Watanzania wote wanaoishi Uingereza na Jamhuri ya Ireland kuwa, Ubalozi umeanza kushughulikia maombi ya Pasipoti za kielektonic kuanzia tarehe 01/04/2019. Pasipoti za zamani zitaendelea kuwa na matumizi hadi ifikapo tarehe 31 January,2020,
hii itamwondolea usumbufu wa kwenda Ubalozi kuchukua fomu ya maombi ya pasipoti, na badala yake ataipata na kuijaza fomu hiyo mtandaoni. Aidha, itasiaidia katika kuimarisha utunzaji wa kumbukumbu.
Huduma hii itamwondolea usumbufu wa kwenda Ubalozi kuchukua fomu ya maombi ya pasipoti, na badala yake ataipata na kuijaza fomu hiyo mtandaoni. Aidha, itasiaidia katika kuimarisha utunzaji wa kumbukumbu.
Cheti cha Kuzaliwa Mwombaji
Cheti/Kiapo cha Kuzaliwa Mzazi wa Mwombaji
Picha 3 za Mwombaji za hivi karibuni
Ada ya Fomu $15 na ada ya pasipoti $75
Ushahidi wa ukaazi(viza).
Kivuli cha pasipoti
Barua ya maombi ya pasipoti
Copyright © 2021 Tanzania High Commission.